METDO Tanzania

METDO Tanzania

Monday, August 26, 2019

MAJALIWA AWASILI NCHINI JAPAN


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi wakati alipowasili kwenye hoteli ya Yokohama Bay nchini Japan Agosti 26, 2019, ambako anatarajiwa kushiriki kwenye mkutano wa TICAD 7 na kufanya ziara ya kikazi nchini humo. Kulia ni Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Japan, John Kambona.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi wakati alipowasili kwenye hoteli ya Yokohama Bay nchini Japan Agosti 26, 2019, ambako anatarajiwa kushiriki kwenye mkutano wa TICAD 7 na kufanya ziara ya kikazi nchini humo. Kulia ni Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Japan, John Kambona.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na baadhi ya maofisa wa serikali ya Tanzania wakati alipowasili kwenye hoteli ya Yokohama Bay nchini Japan Agosti 26, 2019, amabako anatarajiwa kushiriki kwenye mkutano wa TICAD 7 na kufanya ziara ya kikazi nchini humo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com