Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City
mabao mawili dakika za 15 na 64 katika ushindi wa 3-1 kwenye mchezo wa
Ligi Kuu ya England dhidi ya wenyeji, Bournemouth Uwanja wa Vitality.
Bao la pili la Man City limefungwa na Raheem Sterling dakika ya 43,
wakati la Bournemouth limefungwa na Harry Wilson dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI SOMA HAPA
Sunday, August 25, 2019
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amefunga mashindano ...
-
Waziri wa Kilimo Mhe Hasunga (Mb) Mwenye Tai, akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa kampuni mbalimbali zinazojihusisha na uzalish...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Afisa elimu wa mkoa wa Dar es salaam akizungumza na washiriki wa mkutano uliowakutanisha wamiliki wa shule binafsi ...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment