Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City
mabao mawili dakika za 15 na 64 katika ushindi wa 3-1 kwenye mchezo wa
Ligi Kuu ya England dhidi ya wenyeji, Bournemouth Uwanja wa Vitality.
Bao la pili la Man City limefungwa na Raheem Sterling dakika ya 43,
wakati la Bournemouth limefungwa na Harry Wilson dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI SOMA HAPA
Sunday, August 25, 2019
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akimkabidhi Tuzo pamoja na Cheti, Mkurugenzi Mtendaji wa Ben...
-
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kuwa ujenzi wa Barabara ya Kibaoni–Sitalike (km 70) ni muhimu katika kuchochea shughuli za kiuchum...
-
Na Mathias Canal, WAZOHURU MEDIA Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali...
-
Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akizungumza wakati wa uzinduzi wa minada ya kahawa kanda ya Mbeya-Songwe Leo tarehe 22 Agosti ...
-
Mkurugenzi wa Mauzo wa Kampuni ya Jumbo Camera House, Mathias Luoga akionesha vifaa mbalimbali vya kamera wakati wa uzind...
Powered by Blogger.

0 comments:
Post a Comment