METDO Tanzania

METDO Tanzania

Tuesday, January 8, 2019

MHE KAKUNDA NA MHE MGUMBA WAANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI MOROGORO

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe Joseph  Kakunda na Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mhe, Omary Mgumba leo wameanza ziara ya siku tatu ya kiserikali katika Mkoa wa Morogoro 08, Januari 2019  asubuhi  kabla kuanza ratiba ya ziara waliripoti ofisi ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Morogoro ambapo walifanya  mazungumzo na Katibu wa CCM Mkoa huo Shaka Hamdu Shaka juu ya utekelezaji wa Ilani ya CCM katika maeneo ya Viwanda, Biashara na uwekezaji katika Mkoa huo.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com