
Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) kupitia maabara zake za kisasa zilizopo katika Kituo cha Udhibiti wa Visumbufu vya Mimea Kibiolojia, Kibaha, mkoani Pwani, imeanza kuzalisha mdudu rafiki wa mazingira aina ya "mbawa kavu" (Cyrtobagous salviniae) kwa ajili ya kudhibiti gugu...