METDO Tanzania

METDO Tanzania

Tuesday, November 6, 2018

Naibu Waziri Mabula awatahadharisha wanaotumia jina lake vibaya

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Angeline Mabula amewataka watendaji wa Halmashauri nchini kutimiza majukumu wao kwa mujibu wa sheria na si kutumia jina lake.


Mhe. Dkt. Mabula ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Ilemela mkoani Mwanza amesema wapo baadhi ya watendaji wanapokuwa wakitimiza majukumu yao ikiwemo kuendesha zoezi la bomobomoa, huwaeleza wananchi kwamba yeye ndiye amewatuma.
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2025 WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com