METDO Tanzania

METDO Tanzania

Thursday, April 13, 2017

NEC YAENDELEA NA TARATIBU YA KUJAZA NAFASI ILIYOCHWA WAZI NA SOPHIA SIMBA

A
Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mnazimmoja Dkt. Naufal Kassim Mohd akitoa maendeleo na changamoto za Hospitali ya Mnazimmoja wakati Ujumbe wa Mashirika ya UN ulipotembelea Hospitali hiyo.
A 1
 Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa Tanzania Alvaro Rodriguez akiuliza swali kwa uongozi wa Hospitali ya Mnazimmoja alipotembelea Hospitali hiyo kujuwa maendeleo yake.
A 2
Mhandisi Mkuu wa Hospitali ya Mnazimmoja Mathna Kassim Marine akitoa maelezo kwa Mratibu wa Mashirika ya UN alipotembelea sehemu ya kuzalisha gesi ya Oxygen inayotumika katika Hospitali hiyo.
A 3
Ujumbe wa Mashirika ya UN Tanzania ukiongozwa na Alvaro Rodriguez wa kwanza (kushoto) ukitembelea Hospitali Kuu ya Mnazimmoja.
A 4
 Wajumbe wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa Tanzania wakitembelea wodi mpya ya wazazi ya Hospitali Kuu ya Mnazimmoja.

Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com