METDO Tanzania

METDO Tanzania

Wednesday, March 15, 2017

UZINDUZI WA UTAFITI WA UCHIMBAJI MAFUTA NA GESI ASILIA ZBAR

QAAA
Makamu wa Pili wa Rais akikata utepe kuashiria kuzindua kazi ya utafiti wa utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta na Gesi Asilia Zanzibar jana katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume(Picha na Dk. Juma Mohammed.
QA 1
Ndege ya Utafiti wa Uchimbaji wa Mafuta na Gesi Asilia kutoka Kampuni ya Bell Geospace ya Uningereza ikiwa tayari kuanza kazi hiyo Visiwani Zanzibar. 
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2025 WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com