METDO Tanzania

METDO Tanzania

Wednesday, November 30, 2016

FA YAMTANGAZA GARETH SOUTHGATE KUWA KOCHA MKUU WA ENGLAND

gareth-southgate-england-u21s-under-21s-u21-press-conference_3373168
Gareth Southgate amechaguliwa rasmi kuwa kocha mkuu  wa  timu ya Taifa ya England kwa kumpa mkataba wa mika minne aliosaini.

Southgate mwenye umri wa miaka 46 aliacha wadhfa wake kama mkufunzi wa timu ya England ya vijana wasiozidi miaka 21 mnamo mwezi Septemba baada ya aliyekuwa meneja wa Uingereza Sam Allardyce kujiuzulu baada ya kuhudumu kwa siku 67 pekee.

Aliisaidia Uingereza kushinda mara mbili pamoja na sare mbili kama kaimu mkufunzi na sasa ametia saini kandarasi ya miaka minne yenye thamani ya pauni milioni 2 kwa mwaka.

”Nimefurahia sana kushirikiana na wachezaji katika mechi nne na ndhani kuna vipaji vingi”,alisema.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com