Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai
akipokea mwaliko wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa
kujiunga na Umoja wa Mabunge ya Africa (African Parliamentary Union)
kutoka kwa Rais wa Umoja huo ambaye pia ni Spika wa Bunge la
Guine-Bissau Mheshimiwa Cipriano Cassama Ofisini kwake Jijini Dar es
Salaam anayeshuhudia kushoto ni Katibu Mkuu wa Umoja huo Mheshimiwa.
N’ZI Koffi.
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akimueleza jambo na Rais wa Umoja wa Mabunge ya Africa (African Parliamentary Union)
ambaye pia ni Spika wa Bunge la Guine-Bissau Mheshimiwa Cipriano
Cassama Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam mara baada ya kupokea mwaliko
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa kujiunga na Umoja huo.
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai (katikati) katika picha ya pamoja na Rais wa Umoja wa Mabunge ya Africa (African Parliamentary Union)
ambaye pia ni Spika wa Bunge la Guine-Bissau Mheshimiwa Cipriano
Cassama (kushoto) na Katibu Mkuu wa Umoja huo Mheshimiwa. N’ZI Koffi
(kulia).
Rais wa Umoja wa Mabunge ya Africa (African Parliamentary Union)
ambaye pia ni Spika wa Bunge la Guine-Bissau Mheshimiwa Cipriano
Cassama (kushoto) akimkabidhi zawadi Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai
(kulia) mara baada ya mazungumzo Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es
Salaam.
Spika
wa Bunge Mhe Job Ndugai (katikati) akizungumza na Waandishi wa Habari
mara baada ya kupokea mwaliko wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania wa kujiunga na Umoja wa Mabunge ya Africa (African Parliamentary Union) Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam
Picha na Ofisi ya Bunge
0 comments:
Post a Comment