METDO Tanzania

METDO Tanzania

Wednesday, November 30, 2016

WATUMISHI OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA WAPIGWA MSASA

picha-1uuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Mshauri Mwelekezi wa Masuala ya Jinsia kutoka “Women Fund” Profesa Ruth Meena akitoa mada.

Mshauri Mwelekezi wa Masuala ya Jinsia kutoka “Women Fund” Profesa Ruth Meena (kulia), akiwasilisha mada juu ya jinsi ya kuingiza masuala ya jinsia katika mpango kazi wa taasisi wakati wa kikao kazi cha watumishi kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kilicho fanyika jana katika Ukumbi wa ofisi za Bunge jijini Dar es Salaam.

 Mafunzo yakitolewa.

Picha ya pamoja na mkufunzi. (Imeandaliwa na Monica Laurent wa Ofisi ya Msajili wa Vyama)
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com