Waziri Mkuu
Kassim Majaliwa ,kushoto akikabidhi Jarida lakutangaza Utalii wa
Tanzania KwaKiongozi wamaswala ya Utalii katika Mkoa wa Matanzas .Bwana
Luis Marines ,jana August 23/2017 wakati alipokuwa katika Ziara
yakikazi kwenye Mji wa Varadero Mkoa wa Matanzas Nnchini Cuba katikati
katika picha ni Mama Mary Majaliwa
Waziri Mkuu
Kassim Majaliwa (mwenye miwani)na Mama Mary Majaliwa (kulia) .pamoja na
Ujumbe wa Serekali ya Tanzania wakipata maelezo jana August
23/2017kutoka kwa Kiongozi wa Utalii katika Mkoa wa Matanzas ,Bwana Luis
Martines. jinsi fukwe za Bahari zinavyo tunzwa nakuwa kivutio kwa
Watalii wanao tembelea Mji wa Varadero Mkoa wa Matanzas Nnchini Cuba
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
(mwenye shati jeupe) na Mama Mary Majaliwa (kushoto)pamoja na ujumbe wa
serekali ya Tanzania jana August23/2017. wakipata maelezo kutoka kwa
muongoza wa Talii Bibi Yanseli Marrero kuhusu biashara ya Boti za
Utalii kwenye fukwe za Bahari katika Mji wa Varadero Mkoa wa Matanzas
Nnchini Cuba
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
0 comments:
Post a Comment