METDO Tanzania

METDO Tanzania

Friday, July 15, 2022

RAIS SAMIA AWASILI KISIWANI PEMBA KWA ZIARA

   

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi na Wananchi alipowasili Uwanja wa Ndege wa Pemba 15 Julai 2022 kwa Ziara.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia Vikundi mbalimbali vya ngoma za Utamaduni  alipowasili Uwanja wa Ndege wa Pemba 15 Julai 2022 kwa Ziara.

Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2025 WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com