METDO Tanzania

METDO Tanzania

Thursday, December 2, 2021

NI HATARI ! FUVU LAKUTWA PEMBEZONI MWA BARABARA WANANCHI WASHANGAZWA

 

Na Hamis Hussein - Singida 

Jeshi la polisi mkoa wa singida Limethibitisha  kupatika kwa masalia yanayosadikika kuwa ni ya  binadamu  katika kijiji cha mwankoko mkoani singida 

Mabaki hayo ni pamoja na Fuvu, mifupa, nguo pamoja na nywele 

Jionee mwenyewe hapa.! 



Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com