METDO Tanzania

METDO Tanzania

Friday, September 4, 2020

MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA LAMADI NA BUNDA MKOANI MARA



Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Bunda mjini mkoani Mara katika Mikutano ya Kampeni ya CCM wakati akitokea Bariadi mkoani Simiyu.


Sehemu ya Wananchi wa Bunda waliofika kumsikiliza Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katika eneo hilo la Bunda mjini mkoani Mara.


Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Lamadi wakati akitokea Bariadi mkoani Simiyu.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com