METDO Tanzania

METDO Tanzania

Friday, September 4, 2020

Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Bariadi



Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Bariadi katika mkutano wa Kampeni za Urais kwa upande wa CCM zilizofanyika katika uwanja wa Bariadi mkoani Simiyu


Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Watoto wenye Ulemavu wa Ngozi mara baada ya kuwasili Bariadi mkoani Simyu.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com