METDO Tanzania

METDO Tanzania

Wednesday, September 2, 2020

Mgombea Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Dkt. John Pombe Magufuli azungumza na Wananchi wa Shelui-Nzega mkoani Tabora


Mgombea Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Igunga mkoani Tabora katika Kampeni za Urais za CCM wakati akiwa njiani kuelekea Nzega.


Sehemu ya Wananchi wa Igunga waliohudhuria mkutano wa Kampeni wa Mgombea Urais kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli.


Mgombea Urais kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Shelui mkoani Singida wakati akiwa njiani kuelekea mkoani Tabora.


Wananchi wa Shelui mkoani Singida wakishangilia mara baada ya Mgombea Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli aliposimama wakati akielekea Igunga mkoani Tabora.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com