Mkurugenzi wa taasisi ya Tulia Trust Dr. Tulia Ackson akishirikiana na Shirika la Wheel Chair Foundition ametembelea Familia tano za watoto wenye ulemavu katika maeneo mbalimbali mkoani Mbeya na kuwapatia msaada wa baiskeli za kutembelea kwa lengo la kuwasaidia watoto hao wapate elimu kutokana na wengi wao kushindwa kwenda Shuleni kufuatia kuwa na changamoto ya kushindwa kutembea wenyewe hadi kufika shuleni.
Friday, August 23, 2019
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akimkabidhi Tuzo pamoja na Cheti, Mkurugenzi Mtendaji wa Ben...
-
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kuwa ujenzi wa Barabara ya Kibaoni–Sitalike (km 70) ni muhimu katika kuchochea shughuli za kiuchum...
-
Na Mathias Canal, WAZOHURU MEDIA Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali...
-
Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akizungumza wakati wa uzinduzi wa minada ya kahawa kanda ya Mbeya-Songwe Leo tarehe 22 Agosti ...
-
Mkurugenzi wa Mauzo wa Kampuni ya Jumbo Camera House, Mathias Luoga akionesha vifaa mbalimbali vya kamera wakati wa uzind...
Powered by Blogger.


0 comments:
Post a Comment