Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Gelasius Gasper Byakanwa akiwasisitizia wajumbe wa mkutano
wa Kikao cha Utekelezaji randama ya ushirikiano wa usimamizi wa rasilimali za
misitu Kanda ya Kusini – Mtwara kuazimia kubadiri taratibu za kufanya biashara
ya mkaa kwa kuwataka wafaanyabiashara hiyo kulazimika kupanda shamba la miti
kabla ya kuruhusiwa kuvuna misitu kwa ajili ya kuchoma mkaa. Kikao hicho
kilifanyika leo tarehe 04/12/2017 katika Ukumbi wa Benki Kuu Mtwara ambapo Byakanwa
alikuwa mgeni rasmi.
Wednesday, December 6, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Na Immaculate Makilika – MAELEZO, Makete Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mh...
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Kibanda cha mlinzi katika Chuo cha VETA Uyui mkoani Tabora ambacho kimejengwa kwa gharama ya sh.milioni 11. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ...
-
Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) imeongeza jitihada katika kudhibiti uvamizi wa visumbufu hatarishi, ikiwemo kwelea...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment