Mwezeshaji kutoka Mradi wa
Uimarishaji Sekta za Umma (PS3) Christopher Masaaka ambaye pia ni Afisa
Uchumi kutoka Halmashauri ya Wangingómbe Mkoa wa Njombe akitoa mafunzo
kwa moja ya kundi la washiriki wa mafunzo ya Mfumo wa Kielektroniki
(PlanRep) iliyoboreshwa wa kuandaa Mipango, Bajeti na Ripoti za Mamlaka
ya Serikali za Mitaa leo Mjini Dodoma. Kushoto ni Wagisha Ronald na
Hussein Kiranga (Katikati) kutoka Taasisi ya GIZ-TGPSH.
Baadhi ya Maafisa Uchumi, Mipango
na Makatibu Afya kutoka Manispaa ya Singida wakijadili jambo wakati wa
mafunzo ya Mfumo wa kielektroniki (PlanRep) iliyoboreshwa wa kuandaa
Mipango, Bajeti na Ripoti za Mamlaka ya Serikali za Mitaa leo Mjini
Dodoma.
Baadhi ya Watumishi mbalimbali
wakiwemo Maafisa Uchumi, Mipango na Makatibu Afya kutoka Halmashauri za
Mkoa wa Manyara wakifuatilia mafunzo ya Mfumo wa kielektroniki (PlanRep)
iliyoboreshwa wa kuandaa Mipango, Bajeti na Ripoti za Mamlaka ya
Serikali za Mitaa yanayoratibiwa na Mradi wa Uimarishaji Sekta za Umma
(PS3) kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani
(USAID) leo Mjini Dodoma.
(Picha na Beatrice Lyimo-MAELEZO
0 comments:
Post a Comment