Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akisalimiana na wakazi wa Magorofani baada ya kuwasili kwa ajili ya ufunguzi wa barabara hiyo.
Balozi wa Mkuyuni Yahaya Butalotwa(mwenye shati nyekundu) akimsimlia jambo na Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko
Vijana wakiwa tayari kwa ajili ya mashindano ya Baiskeli kwenye barabara hiyo mpya
Wanakwaya wa kanisa la ufufuo na uzima maarufu kama MUNGU WA BENDERA wakitumbuiza katika mkutano huo wa ufunguzi wa barabara.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko na Diwani wa Kata ya Igulwa Mhe. Richard Mabenga kwa pamoja wakishiriki kuimba.
Askofu wa Kanisa la ufufuo na uzima(Bendera) akifanya maombi kabla ya mkutano kuanza.
Diwani wa Kata ya Igulwa Mhe. Richard Mabenga akizungumza katika ufunguzi huo wa barabara la Butambala- Magorofani uliofanywa na Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akizungumza na wananchi wa Kata ya Igulwa pamoja nq kata jirani katika ufunguzi huo wa barabara.
Sunday, July 9, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa upinzani, Kizza Besigye akisindikizwa na maofisa wa gereza la Luzira alikokuwa akishikiliwa Kiongozi w...
-
Waziri wa kilimo Mhe Dkt Charles Tizeba akionyesha mfuko mtupu uliogushiwa na kiwanda cha Global Packaging limited wakati akizungumza n...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Kuangalia video za ngono sio jambo jipya kwa jamii yetu, kimsingi ni watu wachache sana wanaweza kujizuia kujichua au kupiga punyeto ...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment