Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akisalimiana na wakazi wa Magorofani baada ya kuwasili kwa ajili ya ufunguzi wa barabara hiyo.
Balozi wa Mkuyuni Yahaya Butalotwa(mwenye shati nyekundu) akimsimlia jambo na Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko
Vijana wakiwa tayari kwa ajili ya mashindano ya Baiskeli kwenye barabara hiyo mpya
Wanakwaya wa kanisa la ufufuo na uzima maarufu kama MUNGU WA BENDERA wakitumbuiza katika mkutano huo wa ufunguzi wa barabara.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko na Diwani wa Kata ya Igulwa Mhe. Richard Mabenga kwa pamoja wakishiriki kuimba.
Askofu wa Kanisa la ufufuo na uzima(Bendera) akifanya maombi kabla ya mkutano kuanza.
Diwani wa Kata ya Igulwa Mhe. Richard Mabenga akizungumza katika ufunguzi huo wa barabara la Butambala- Magorofani uliofanywa na Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akizungumza na wananchi wa Kata ya Igulwa pamoja nq kata jirani katika ufunguzi huo wa barabara.
Sunday, July 9, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
Ofisi Ya Msajili Wa Jumuiya, Wizara Ya Mambo Ya Ndani Ya Nchi imewataka viongozi na wanachama wa vyama, vikundi na taasisi zote zisizo za ki...
-
WAZOHURU ARUSHA: Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Joseph Modestus Mkude amewataka wafanyabiashara Wilayani hapo kushirikiana na Mamlaka ya Mapa...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment