METDO Tanzania

METDO Tanzania

Sunday, July 9, 2017

KATA YA KATOME JIMBO LA BUKOMBE KUJIPATIA KITUO CHA AFYA

 Picha ya Kituo Cha Afya kilichofunguliwa na Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko
 Choo kwa ajili ya wagonjwa
 Nyumba ya Matabibu
 Diwani wa Kata ya Katome Mhe. Paul Mhangwa akizungumza na wakazi kijiji cha Mienze na vijiji jirani waliohudhuria kwenye ufunguzi huo wa Kituo cha Afya cha Kata ya Katome uliofanywa na Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko.

  Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akizungumza na wakazi Kijiji cha Mienze na vijiji jirani waliohudhuria kwenye ufunguzi huo wa Kituo cha Afya cha Kata ya Katome na kuwasisitiza kushirikiana na wataam wa huduma ya Afya ili kuwatia moyo wa kufanya kazi kikamilifu sambamba na kuwapongeza kwa kujitoa kwao  katika shughuli za maendeleo ya jamii.
   Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akikata utepe tayari kwa ufunguzi wa Kituo hicho cha Afya Kata ya Katome.
   Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko wakiwa ndani na baadhi ya watalam wa huduma ya Afya baada ya ufunguzi.
 Picha ya baadhi  ya waliohuduria katika ufunguzi huo wa Kituo cha Afya.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com