ABIRIA wanaotumia usafiri wa treni inayofanya safari kati ya
Stesheni, Dar es Salaam na Pugu, wataanza kulipa nauli ya Sh 600 baada
ya nauli hiyo kupitishwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu
na Majini (Sumatra).
Awali treni hiyo ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) ilikuwa ikitoza Sh
400 kwa mtu mzima na mwanafunzi Sh 200 wakati treni hiyo ilipokuwa
katika majaribio.
Wanafunzi watalipa Sh 100 kutoka kituo kimoja hadi kingine.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TRL, Ng’hwani Rashid amesema, kampuni hiyo
ilikuwa ikitoza Sh 400 wakati ikisubiri kukamilika kwa mchakato wa
ukokotoaji nauli ambao umesimamiwa na Sumatra.
Tuesday, August 30, 2016
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza weledi katika kazi wakati wa kikao kazi kilichofanyika katika Ofisi za Kampuni ya mb...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI na Mbunge wa Kisarawe Selemani Jafo akijiandaa kukata keki katika katika sherehe ya kuwapongeza...
-
Mkuu wa Idara ya Utafiti na Machapisho ESRF, Profesa Fortunata Makene akitoa neno la ukaribisho kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa ESR...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment