ABIRIA wanaotumia usafiri wa treni inayofanya safari kati ya
Stesheni, Dar es Salaam na Pugu, wataanza kulipa nauli ya Sh 600 baada
ya nauli hiyo kupitishwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu
na Majini (Sumatra).
Awali treni hiyo ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) ilikuwa ikitoza Sh
400 kwa mtu mzima na mwanafunzi Sh 200 wakati treni hiyo ilipokuwa
katika majaribio.
Wanafunzi watalipa Sh 100 kutoka kituo kimoja hadi kingine.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TRL, Ng’hwani Rashid amesema, kampuni hiyo
ilikuwa ikitoza Sh 400 wakati ikisubiri kukamilika kwa mchakato wa
ukokotoaji nauli ambao umesimamiwa na Sumatra.
Tuesday, August 30, 2016
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM MABINGWA watetezi wa Lig...
-
Wanafunzi wa vyuo nchini wametakiwa kuendelea kuwa mstari wa mbele katika utekezaji wa shughuli mbalimbali za kuhifadhi na kulinda mazingira...
-
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Jerry Muro (kulia) akizungumza na wananchi wakati wa utatuzi wa mgogoro wa Ardhi baina ya kata mbili za Dung'un...
-
Lucy Lyatuu, Halima Mlacha na Jonas Kamaleki, Maelezo MSOMI maarufu nchini, Profesa Benson Bana na mwanasiasa aliyekuwa Makamu Mwenyek...
Powered by Blogger.

0 comments:
Post a Comment