ABIRIA wanaotumia usafiri wa treni inayofanya safari kati ya
Stesheni, Dar es Salaam na Pugu, wataanza kulipa nauli ya Sh 600 baada
ya nauli hiyo kupitishwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu
na Majini (Sumatra).
Awali treni hiyo ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) ilikuwa ikitoza Sh
400 kwa mtu mzima na mwanafunzi Sh 200 wakati treni hiyo ilipokuwa
katika majaribio.
Wanafunzi watalipa Sh 100 kutoka kituo kimoja hadi kingine.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TRL, Ng’hwani Rashid amesema, kampuni hiyo
ilikuwa ikitoza Sh 400 wakati ikisubiri kukamilika kwa mchakato wa
ukokotoaji nauli ambao umesimamiwa na Sumatra.
Tuesday, August 30, 2016
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Na. Antonia Mbwambo, Arusha. Watumishi wa Umma nchini wamehakikishiwa kuboreshewa mazingira ya kazi kadri uchumi utakavyoruhusu ili kuleta ...
-
Nimebahatika kupata fursa kadhaa kukaa na kuzungumza na Mheshimiwa Rais Mstaafu Hayati Benjamin William Mkapa enzi za uhai wake....
-
Na Mathias Canal, WAZOHURU MEDIA Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali...
-
Na THEOFLIDA WA YESU Naanza kwa kuwasalimu kwa JINA LA YESU. Jina lililo Kuu kupita majina yote. Wiki ...
-
Mmoja wa Viongozi wa kikundi cha Hamasa cha Timu ya Tanzania Prison Stephen Rheda (aliyesimama) akitoa nasaha za mwisho kwa washabiki wenzie...
Powered by Blogger.

0 comments:
Post a Comment