METDO Tanzania

METDO Tanzania

Thursday, August 4, 2016

TAHADHARI KWA WAKENYA: UCHAWI NI UTUMWA


Na THEOFLIDA  WA  YESU
 
Naanza  kwa  kuwasalimu  kwa  JINA  LA  YESU. Jina  lililo  Kuu  kupita  majina  yote. 
 
Wiki  kadhaa  zilizo  pita, niliandika  waraka  wangu   kwa  watanzania  na  kuusambaza   kupitia  blogs  na  mitandao  mbalimbali   kuhusu  athari  za  kujihusisha  na  masuala  ya  waganga  wa  jadi  . 
Katika waraka  huo   niliwatahadharisha  watanzania  kutojihusisha  na  WAGANGA  WA  TUNGULI  kwa  sababu WAGANGA  WA  TUNGULI  ni   WACHAWI NA MAWAKALA  WA  SHETANI   walio  vaa  kofia  ya  utabibu.

Katika  waraka  huo  niliwaelezea  watanzania  jinsi  nilivyo  shawishika  kutafuta  msaada  wa  maisha  yangu   kwa  MGANGA  WA  TUNGULI  aitwae  MUNGU  WA  KABILI  na  kujikuta  nikipata  matatizo  makubwa  ambayo  hata  hivyo  yalipelekea  kunikutanisha  na  YESU  ambae  ameniokoa.

Katika  waraka  huo nili  sahau  kueleza  mambo  makuu  mawili yafuatayo:

Kwanza  nilisahau  kuweka  mawasiliano  ya   MUNGU  WA  KABILI   ayatumiayo pindi  anapokuwa  nchini  KENYA ili  kuwa  tahadharisha  wakenya  wasipige  namba  hiyo  wala  wasijaribu  kutafuta  msaada  kwenye  namba  hiyo, kwa  sababu  mtu  huyo  ni  WAKALA  WA  SHETANI  alie  jificha  kwenye  kivuli  cha  UGANGA...

Wengi  walio  jaribu  kutafuta  msaada  kwa  MUNGU  WA  KABILI  wamejikuta  wakiishia  kuunganishwa  na  UTAWALA  WA  KUZIMU  ambao  umewapelekea  kujikuta  katika  matatizo  makubwa  kama   niliyo  yapata  mimi.

Nimeona  vyema  kuwatahadharisha  wakenya, kwa  sababu  mungu  wa  kabili  hufanya  kazi  zake  Tanzania  na  Kenya.  Anapokuwa  Tanzania, namba  yake  huwa  ni  + 255  744  000  473  na  anapokuwa  Kenya , namba  yake  huwa  ni  + 254    704  71 61 59.
 
Hivyo  basi   Ndugu  zangu Wakenya , hii ni  tahadhari  yangu  kwenu. Nimeweka  namba  hizo  hapo  juu  kama  alama  ya  MPINGA  KRISTO  ambayo  watu  wote  wenye  hofu  ya  Mungu  wanapaswa  kuepukana  nayo..

Nimeongozwa  katika  namna  ya  rohoni, kuanza  kufanya  kampeni  ya  nguvu  dhidi  ya  roho  ya  kuhusudu  masuala  ya  UGANGA, UCHAWI  NA  USHIRIKINA  na  nitajikita  zaidi  katika  mapambano  dhidi  ya  MGANGA  WA  JADI  AITWAE  MUNGU  WA  KABILI.
 
Ninaanza  kwa  kupambana  na  MUNGU  WA  KABILI  kwa  sababu, kwa  miaka  zaidi  ya  mitatu  ambayo  nimekuwa  nikishirikiana  na  MUNGU  WA  KABILI,  nimeweza  kujua  kuwa  yeye    ndio   MKUU  WA  WAGANGA  NA  WACHAWI  WOTE  WA  AFRIKA  MASHARIKI  NA  KATI , na  watu  wenye  hekima  wanasema  katikati  ya  kundi  la  kondoo  MPIGE  RUNGU  MCHUNGAJI, NA  KONDOO  WOTE  WATATAWANYIKA.

Naamini  nikimsambaratisha  mungu  wa  kabili, basi itakuwa  rahisi  kwa  waganga  wengine  kwa  sababu  wote  ni  kama  wafuasi  wake  tu.

Katika  kampeni  yangu  hii  ya  kiroho, nimeanzisha  blogu  iitwayo  SHUHUDA  ZA  AJABU  ambayo  inapatikana : www.shuhudazaajabu.blogspot.com.
 
Nitakuwa  nikitoa  shuhuda  za  mambo  mbalimbali  ya  kichawi  niliyo fundishwa  na  MUNGU  WA  KABILI  na  jinsi  unavyo  weza  kujiepusha  nayo  kwa  kutumia  Jina  la  Yesu.

Najua  kazi  hii  itainua  uadui  mkubwa  dhidi  yangu, kwa  sababu  hakuna  kitu  wachawi  wanakichukia  kama siri  zao  kutolewa  hadharani, lakini  kwa  Jina  la  Yesu, nitapambana  vita  hii  na  nitaishinda.
 
 MUNGU  WA  KABILI  na  jeshi  lake  watajaribu  kushindana  na  mimi  lakini  hawatashinda.( YEREMIA 1:19.)
 
Shuhuda  nitakazo  zitoa, zitakuwa  na  mafundisho  mazuri yatakayo  kupa  faida  , kama  Mungu  anavyo  sema katika  kitabu  cha ISAYA  48  kwamba  " MIMI  NI  MUNGU  NIKUFUNDISHAE  ILI  UPATE  FAIDA'.

Ushuhuda  huu  utakufanya  umjue  shetani  vizuri kama  wasemavyo  watu  wenye  hekima  " MJUE  ADUI  YAKO  KAMA  UNAVYO   IJUA  NAFSI  YAKO"

JAMBO  LA  PILI  na  la  msingi  ambalo  sikuweza  kulielezea  kwa  kina  katika  waraka  wangu  wa  kwanza  ni  namna  ambavyo  MUNGU  WA  KABILI  alinifundisha  uchawi  na  uganga...

Nianze  kwa  kurudisha  kumbukumbu  zenu  nyuma. Kama  mlifatilia  vizuri  waraka  wangu  mtakuwa  mnakumbuka  kuwa, kwa  kutumia  uchawi  nilio  pewa  na  MUNGU  WA  KABILI, nilifanikiwa  kuteka  na  kudhulumu  mali  za  mwanaume  mume  wa  mtu   aitwate " K". 

Mali  hizo  zilikuwa  ni  pamoja  na  maduka  mbalimbali  ya  biashara  ambayo  nilimkabidhi  mdogo  wangu  ayasimamie.

Kutokana  na  usimamizi  wa  hovyo  ulio fanywa  na  mdogo  wangu, maduka   hayo  yakaanza  kufilisika  taratibu. Hali  hii  ilinifanye  niende  kuomba  msaada  wa  MUNGU  WA  KABILI.

Mungu  wa  Kabili  akaniambia  kuwa  mimi  siwezi  kufanikiwa   kupitia  biahsra  yoyote  hata  iweje.  Mungu  wa  Kabili  akaniambia  , Nina  nyota  ya  Uganga " kwa  hiyo  ninatakiwa  kuwa  mganga.

Sikuwa  na  jinsi  zaidi  ya  kukubaliana  nae  kwa  sababu  nilishamfanya  kuwa  kama  muungu  wa  maisha  yangu. Nilitii  na  kufuata  kila  alicho  kisema.

Ikapangwa  siku  rasmi  ya  mimi  kusimikwa  uganga  kisha  baada  ya  kusimikwa uganga ndipo nianze kufanya  kazi  ya  kuwaagua  watu  wenye  shida, tabu  na  matatizo  mbalimbali  ya  kimaisha.

Zoezi  la  kunisimika  uganga  rasmi  lilikamilika  ambapo nilikabidhiwa  nyenzo  za  uganga  pamoja  na  jina  la  kazi, baada  ya  hapo, mungu  wa  kabili  akaniambia, nitaanza  kufundishwa  uganga, lakini  akasema, kabla  ya kuujua  uganga  ninatakiwa  kuujua  kwanza  uchawi, kwa  nadharia  na  vitendo. Hapo ndipo ninaposema  siku zote  kuwa  MCHAWI  NA  MGANGA  LAO MOJA.

mungu  wa  kabili  aliniambia ' UCHAWI  NI  SAYANSI  YA  SIRI  YENYE  MRENGO  WA  UFISADI  ( YANI  MLENGO  WA  UHARIBIFUI ) Ilihali  UGANGA  NI  SAYANSI  YA  SIRI YENYE UWEZO  WA  KUPAMBANA  ATHARI  ZA   NGUVU  YA SAYANSI  YENYE  MLENGO  WA  UFISADI.
 
mungu  wa  kabili  akaniambia, ili  niwe na  uwezo  wa  kupambana  na uchawi  ni  lazima  kwanza  niufahamu  uchawi  vizuri kwa  nadharia  na  vitendo , kisha  baada  ya  hapo  nitafundishwa  kuhusu  mbinu  za  kupambana  na  uchawi  ambao kwa  mujibu  wa  mungu  wa  kabili, ndio  huo  uganga  wenyewe..
 
Nilifundishwa  vitu  sana  katika  uchawi, kuanzia  jinsi  ya  kuroga  ukoo  mzima, kufanya  watoto  wasikue, kutengeneza  ukimwi  wa  kichawi, kuvunja  ndoa, kutengeneza  radi, nyoka, simba n.k, kusafiri  na  aina  tatu  za  ungo  wa  kichawi, kutengeneza  na  kuzuia  mvua, kuchukua  misukule, kutengeneza  magonjwa  mbalimbali  kwa  watu, mimea  na  mifugo, kutengeneza  chuma ulete, kutengeneza  majini,kuingia  mikataba  na  majini & mizimu, kuwafunga  watu  vifungo  vya  kichawi  vya  aina  mbalimbali  nakadhalika....
 
Share:

Related Posts:

1 comment:

  1. IJUWE SIRI YA MALI NA UTAJIRI KWA NDAGU NA MAJINI PIA ASILI YAKO.

    KATIKA SAFARI YA MAFANIKIO TUNAPITIA MENGI ILI TUWEZE KUFANIKIWA LAKINI WENGI WETU KUNA MAMBO MACHACHE SANA WENGI WETU TUNAYADHARAU NA KUMBE NDIO CHANZO CHA MAFNIKIO YETU.

    N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843

    HAYA NI MAMBO 7 YAKUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFNIKIO

    i) Wazazi wako wakiwa wamekulea mpaka ukawa mkubwa wafumbua macho unawaona akikisha usiwafanye wakajuta kukuzaa asilimia kubwa wazazi wanakuwa na tabu sana ila zile tabu zao ndio zinazokufanya wewe una aminiwa na watu na unaeshimika na kujieshimu

    Kwaiyo jitahidi sana kuwa nao vizuri kuna wengi maisha yao wanaishi kwa shida chanzo ni utofauti baina ya wazazi wao

    Ukiona wazazi wako wanatabu sana usiwajibu vibaya wewe kaa nao mbali ila wape majukumu yao unacho fanya kuwaona nakurudi ulipo apo utaona mambo yako yatakuwa vizuri sana

    ii) JAMBO LA PILI
    Akikisha unatunza uzao wako yani ukijua ni mtoto ni wako basi jitahidi sana kutoa uduma ata kidogo ulicho nacho lakini udumia usiache uzao wako unateseka na njaa wewe una kula maisha aisee fahau

    Kila mtoto wako anavyo kuwa ndio mambo yako yanaaribika usipo udumia kwaiyo ukiwa waitaji kufanikiwa zaidi jali uzao wako

    iii) JAMBO LA TATU
    ukiwa umeoa au umeolewa usitoe talaka au kuomba talaka kabla mwenzio ayupo tayari kwa muda huo fahamu ukiomba talaka au akikupa talaka bila bila sababu ya msingi yeye tu ana matamanio ya kidunia basi anamuda atapoteza muelekeo wa maisha yake

    iv) UKIWA WAPATA PESA
    ukiwa wapata pesa alafu utoi sadaka basi kufikia kwenye ukuu utachelewa sana mana mana pesa badala ya kutoa kwa iyari yako utatoa kwa matatizo kwaiyo jitahidi icho icho kidogo toa sadaka kwa wenye uitaji

    v) USIMZULUMU MTU
    kama wataka kufika mbali kwenye mafanikio yako usimzulumu mtu ata kwa uchache wa kitu usifanye ivyo itakugarimu kiasi kikubwa

    vi) USIZARAH MILA
    ukiwa kwenu kuna mambo ya mila mzimu tambiko jitahidi kufatilia sana aya mambo yanarudisha nyuma sana usipo yawahi mapema

    vii)USIWE WA NAMNA
    1)ikiwa ujafanikiwa jitahidi sana usiwe mvivu kufanya kazi usiwe muhuni usiwe mwenye chuki na asira zisizo za msingi usiwe na tamaa nyoa vizuri vaa nguo za eshima na usiige maisha ya watu.

    KWA MAWSILIANO ZAIDI KUHUSU MATATIZO MBALIMBALI YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA, PETE MALI ZA NDAGU NA MAJINI N.K

    DOKTA MDIRO Call/whatsup +255 742162843.

    ReplyDelete

Copyright © 2025 WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com