METDO Tanzania

METDO Tanzania

Thursday, February 15, 2024

JE, SERIKALI INAMKAKATI GANI WA HARAKA KUHAKIKISHA MIUNDOMBINU YA TAZARA INAKUWA KIWANGO CHA SGR?"MBUNGE NJEZA"



Na Saida Issa, Dodoma

Mbunge wa Mbeya Vijini Oran Njenza ameuluza kuwa Je, serikali inamkakati gani wa haraka kuhakikisha miundombinu ya tazara inakuwa kiwango cha SGR?

Swali hilo ameuliza bungeni jijini Dodoma katika kipindi cha maswali na majibu ambapo ametaka kujua mkakati wa Serikali. 

Akijibu swali la Mbunge huyo Naibu Waziri wa uchukuzi David Kihenzile amesema mpango wa Serikali wa kuiboresha vizuri Tazara Tayari viongozi wameanza mazungumzo pindi yatakapokuwa tayari yataanza kutekelezwa mwaka huu huu 2024. 
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com