METDO Tanzania

METDO Tanzania

Wednesday, May 10, 2023

WAZIRI JAFO AKUTANA NA WATENDAJI WA OFISI YA MAKAMU WA RAIS

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amekutana na Watendaji wa Ofisi ya Makamu wakiongozwa na Kaimu Katibu Mkuu Dkt. Switbert Mkama kwa ajili ya kupokea taarifa za utekelezaji wa majukumu ya Idara ya Mazingira na Kitengo cha Sheria, kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Makamu wa Rais Mtumba jijini Dodoma leo Mei 10, 2023.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com