Tuzo hizo zimetolewa kwenye kongamano la Jumuiya ya Habari na Mawasiliano Ulimwenguni (WSIS), linalofanyika jijini Geneva , Uswizi kuanzia tarehe 13 hadi 17 Machi, 2023 kwa lengo madhubuti la kujadiliana na kuweka mikakati ya kuendelea kuboresha sekta ya habari na Mawasiliano kupitia TEHAMA.
Apps and Girls wamepeperusha vyema bendera ya Tanzania kwa kuwa washindi pekee kwa nchi za Afrika Mashariki kwenye mashindano yaliyoandaliwa na WSIS Mwaka 2022-2023.
0 comments:
Post a Comment