METDO Tanzania

METDO Tanzania

Friday, September 9, 2022

RAIS MWINYI ASHIRIKI SALA KATIKA MASJID LOOTHA KIEMBESAMAKI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Waumini katika Masjid Lootha Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika  leo 09/09/2022.[Picha na Ikulu] 

Waumini wa Dini ya Kiislamu wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) alipozungumza na waumini hao katika  Masjid Lootha Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika leo katika Masjid hiyo.[Picha na Ikulu]09/09/2022. 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiagana na  Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (wa pili kushoto) pamoja na Waumini wa Kiislam katika Masjid Lootha Kiembesamaki  Wilaya ya Magharibi “B”Unguja mara baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika leo.[Picha na Ikulu] 09/09/2022. 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) pamoja na Waumini wa Kiislam katika wakiitikia dua iliyosomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi,(wa tatu kushoto) baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika leo katika Masjid Lootha Kiembesamaki  Wilaya ya Magharibi “B”Unguja.[Picha na Ikulu] 09/09/2022. 

Waumini wa Dini ya Kiislamu wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) alipozungumza na waumini hao katika  Masjid Lootha Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika leo katika Masjid hiyo.[Picha na Ikulu]09/09/2022.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com