METDO Tanzania

METDO Tanzania

Monday, September 28, 2020

Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa IRINGA Mjini leo tarehe 28 Septemba 2020

Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika Uwanja wa CCM Samora mjini Iringa kwa ajili ya kuwahutubia Wananchi wa Iringa mjini katika mkutano wa Kampeni wa CCM leo leo tarehe 28 Septemba 2020.

Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Iringa Mjini katika mkutano wa Kampeni wa CCM uliofanyika leo tarehe 28 Septemba 2020 katika uwanja wa CCM Samora

Wananchi wa Iringa mjini wakiwa wamefurika katika uwanja wa CCM Samora mjini Iringa kumsikiliza Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia mara baada ya kuwasili wakati akitokea jijini Dodoma leo tarehe 28 Septemba 2020.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com