METDO Tanzania

METDO Tanzania

Friday, July 17, 2020

Dr.MDEDE ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KALENGA



Kada wa Chama Cha Mapinduzi Dr.Musa Leonard Mdede amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama hicho
Kada wa Chama Cha Mapinduzi Dr.Musa Leonard Mdede akiwa ameambatana na mke wake kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama hicho.

Kada wa Chama Cha Mapinduzi Dr.Musa Leonard Mdede amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama hicho

Dr.Mdede amefika ktk Ofisi za CCM wilaya ya Iringa vijijini akiwa ameambatana na Mkewe Mwl.Vera Lameck ,mama yake mzazi,marafiki na wanafamilia wengine

Dr.Mdede ambaye ni daktari wa binadamu kitaaluma amechukua fomu ktk Ofisi za CCM wilaya ya Iringa vijijini ambapo amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM wa wilaya hiyo Mobutu Malima.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com