METDO Tanzania

METDO Tanzania

Tuesday, December 31, 2019

RAIS DKT MAGUFULI ATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA KISIWA CHA RUBONDO WILAYANI CHATO MKOA WA GEITA

 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Uongozi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA)  pamoja na maafisa na askari wa Jeshi Usu la Mamlaka hiyo wakati alipotembelea Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo leo Jumanne Desemba 31, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia Uongozi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA)  pamoja na maafisa na askari wa Jeshi Usu la Mamlaka hiyo wakati alipotembelea Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo leo Jumanne Desemba 31, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wakielezwea jambo kuhusu sehemu ya Ziwa Victoria na Kamishna wa Uhifadhi wa TANAPA Dkt. Allan Kijazi alipotembelea Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo leo Jumanne Desemba 31, 2019
Sehemu ya Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo kama inavyoonekana kutoka angani leo Jumanne Desemba 31, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipanda Kivuko kuelekea  Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo leo Jumanne Desemba 31, 2019
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akiwa na familia ya watalii ya klutoka Ufaransa ya Bw. Arnaud de Vanssay  aliokutana nao wakati akitembelea Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo leo Jumanne Desemba 31, 2019

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipungia mkono boti lililobeba watalii wakati wakielekea  Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo ambako yeye pia alitembelea leo Jumanne Desemba 31, 2019
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com