METDO Tanzania

METDO Tanzania

Wednesday, November 13, 2019

SPIKA JOB NDUGAI AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU PSSSF, BALOZI WA ANGOLA NCHINI JIJINI DODOMA


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, Ndg. Hosea Kashimba alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Kwa ziara ya kikazi ya kusikiliza kero za Wabunge
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, Ndg. Hosea Kashimba alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Kwa ziara ya kikazi ya kusikiliza kero za Wabunge
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akikabidhiwa kipeperushi na Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, Ndg. Hosea Kashimba alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Kwa ziara ya kikazi ya kusikiliza kero za Wabunge, Kulia ni Afisa Uhusiano Mwandamizi  wa PSSSF, Ndg. Abdul Njaidi
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Balozi wa Angola nchini Tanzania, Mhe. Sandro De Oliveira alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi wa Angola nchini Tanzania, Mhe. Sandro De Oliveira (katikati) alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na ugeni kutoka Ubalozi wa Angola, ulioongozwa na Balozi wa Angola nchini Tanzania, Mhe. Sandro De Oliveira (kushoto kwake), wageni wengine ni Wabunge wa Tanzania ambao ni Wawakilishi kwenye Jukwaa la Kibunge la SADC walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (watatu kulia) akiwa katika picha ya pamoja wakati akikabidhiwa zawadi ya kitabu na Balozi wa Angola nchini Tanzania, Mhe. Sandro De Oliveira (wa pili kulia), Wageni wengine ni Wabunge wa Tanzania ambao ni Wawakilishi kwenye Jukwaa la Kibunge la SADC walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com