METDO Tanzania

METDO Tanzania

Monday, October 7, 2019

RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AHUTUBIA WANANCHI WA SUMBAWANGA MKOANI RUKWA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na mamia wa wananchi wa Sumbawanga katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa mpira wa Nelson Mandela mkoani Rukwa
Sehemu ya Wananchi wa Sumbawanga waliohudhuria mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli uliofanyika katika uwanja wa mpira wa Nelson Mandela mkoani Rukwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi wa Sumbawanga mara baada ya kuwahutubia katika uwanja wa mpira wa Nelson Mandela mkoani Rukwa. PICHA NA IKULU
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com