Mbunge wa jimbo la Isimani ambaye
ni Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi akijiandikisha katika
daftari la wapiga kura za uchaguzi wa viongozi wa Serikali za Vijiji na
Mitaa katika kituo cha Msimbo kilichopo tarafa ya Idodi mkoani Iringa
jana.
Mbunge wa jimbo la Isimani ambaye
ni Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi akisubiri kujiandikisha
katika daftari la wapiga kura za uchaguzi wa viongozi wa Serikali za
Vijiji na Mitaa katika kituo cha Msimbo kilichopo tarafa ya Idodi mkoani
Iringa jana.
Mbunge wa jimbo la Isimani ambaye
ni Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi akiwa katika mstari na
wananchi wa kijiji cha Idodi akisubiri kujiandikisha katika daftari la
wapiga kura za uchaguzi wa viongozi wa Serikali za Vijiji na Mitaa
katika kituo cha Msimbo kilichopo tarafa ya Idodi mkoani Iringa jana.
0 comments:
Post a Comment