Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kizungumza baada ya kuzindua Jengo la
Ofisi za Ustawi wa Jamii kwenye Manispaa ya mji wa Iringa, Septemba
29, 2019. Wa nne kulia ni Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa, wa
sita kulia ni Waziri wa Katiba na Sheria. Dk. Augustine Mahiga. Wa tano
kushoto ni Naibu Waziri , Ofisi ya Rais TAMISEMI, Josephat Kandege na
wa sita kulia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mkurugenzi
Mkuu wa Makampuni ya ASAS, Salim Abri ambaye amefadhili ujenzi wa jengo
hilo lililogharimu zaidi ya Shilingi Milioni 50. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Sunday, September 29, 2019
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Mhe Japhet Hasunga (Mb) Waziri wa Kilimo, akikagua ujenzi vihenge vya kisasa (Silos) na maghala ya kuhifadhia nafaka kabla ya kuzungumza ...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
Na Georgr Binagi-GB Pazzo Serikali imewataka wakurugenzi wote wa Halmashauri nchini kushughulikia madai ya waalimu ikiwemo madeni stahi...
-
Mbunge wa Jimbo la Vwawa (CCM) na Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi...
-
Ikumbukwe siongei kwa niaba ya Taasisi Fulani bali naongea kama MNEC. Napenda kumpongeza Rais wangu Dr. John Pombe Joseph magufuli kwa...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment