Sunday, September 29, 2019

MAJLIWA AZINDUA JEGO LA USTAWI WA JAMII MJINI IRINGA




Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kizungumza baada ya kuzindua  Jengo la Ofisi za   Ustawi wa Jamii  kwenye Manispaa ya mji wa Iringa, Septemba 29, 2019. Wa nne kulia ni Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa,  wa sita kulia ni Waziri wa Katiba na Sheria. Dk. Augustine Mahiga.  Wa tano kushoto ni Naibu Waziri , Ofisi ya Rais TAMISEMI, Josephat Kandege na wa sita kulia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya ASAS, Salim Abri ambaye amefadhili ujenzi wa jengo hilo lililogharimu zaidi ya Shilingi  Milioni 50. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment