METDO Tanzania

METDO Tanzania

Friday, September 27, 2019

MAJALIWA AWEKA JIWE LA MSINGI LA MRADI WA MAJI WA ILULA


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia baada ya kuweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa Ilula wilayani Kilolo, Septemba 27, 2019. Kushoto ni mkewe Mary, kulia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Jasephat Kandege, wa pili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Happy na wa pili kushoto ni Mbunge w Kilolo, Venance Mwamoto.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa Ilula wilayani Kilolo, Septemba 27, 2019. Kushoto ni mkewe Mary, kulia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Jasephat Kandege, wa pili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Happy na wa nne kushoto ni Mbunge wa Kilolo, Venance Mwamoto.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kuweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa Ilula wilayani Kilolo Septemba 27, 2019. Wa pili kulia ni mkewe Mary, wa pili kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Iringa, Ally Happy na kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Kilolo, Asia Abdallah. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com