
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu,akimsikiliza Afisa Mtendaji Mkuu
wa Wakala wa vipimo Dr.Ludovick Manege alipotembelea banda la wakala wa
vipimo wizara ya viwanda na biashara katika sherehe za ufunguzi wa
Maonesho ya 43 ya biashara ya Kimataifa yaliyofanyika katika viwanja vya
Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu,akiangalia vipimo vinavyotumiwa na
Wakala wa Vipimo alipotembelea banda la wakala wa vipimo wizara ya
viwanda na biashara katika sherehe za ufunguzi wa Maonesho ya 43 ya
biashara ya Kimataifa yaliyofanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere
Jijini Dar es Salaam.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu,akioneshwa kigezi (standard)
kinachotumia kupimia mizani ya madini na Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala
wa vipimo Dr.Ludovick Manege alipotembelea banda la wakala wa vipimo
wizara ya viwanda na biashara katika sherehe za ufunguzi wa Maonesho ya
43 ya biashara ya Kimataifa yaliyofanyika katika viwanja vya Mwalimu
Nyerere Jijini Dar es Salaam.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu,akipata maelezo juu ya majukumu ya
WMA kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa vipimo Dr.Ludovick
Manege alipotembelea banda la wakala wa vipimo wizara ya viwanda na
biashara katika sherehe za ufunguzi wa Maonesho ya 43 ya biashara ya
Kimataifa yaliyofanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere Jijini Dar es
Salaam.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu,akioneshwa vifaa vya kitaalam
vinavyotumiwa na WMA katika kutimiza majukumu yake na Afisa Mtendaji
Mkuu wa Wakala wa vipimo Dr.Ludovick Manege alipotembelea banda la
wakala wa vipimo wizara ya viwanda na biashara katika sherehe za
ufunguzi wa Maonesho ya 43 ya biashara ya Kimataifa yaliyofanyika katika
viwanja vya Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam.
……………….
0 comments:
Post a Comment