Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo,akizungumza wakati akifungua kikao cha tathmini na Wakuu wa Shule za Jumuiya ya Wazazi kilichofanyika leo Julai 15, 2022 jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa Dkt. Edimund Mndolwa,akizungumza wakati wa kikao cha tathmini na Wakuu wa Shule za Jumuiya ya Wazazi kilichofanyika leo Julai 15, 2022 jijini Dodoma.
Katibu Mkuu wa Jumuiya Ya Wazazi Bw.Gilbert Kalima ,akizungumza wakati wa kikao cha tathmini na Wakuu wa Shule za Jumuiya ya Wazazi kilichofanyika leo Julai 15, 2022 jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Mitihani Shule za Jumuiya ya Wazazi Mwalimu Jacob Msigwa ,akizungumza wakati wa kikao cha tathmini na Wakuu wa Shule za Jumuiya ya Wazazi kilichofanyika leo Julai 15, 2022 jijini Dodoma.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akimkabidhi cheti cha pongezi Mwanafunzi Philip Antipas Ng’eleshi kwa kushika nafasi ya 9 Kitaifa katika mtihani wa kidato cha sita katika mchepuo wa PCB,katikati ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Dk. Edmund Mndolwa na kushoto ni Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Wari Mwalimu Naomi Kikoti wakati wa kikao cha tathmini na Wakuu wa Shule za Jumuiya ya Wazazi kilichofanyika leo Julai 15, 2022 jijini Dodoma.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akimkabidhi cheti cha pongezi Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Ivumwe Sekondari Mwalimu Joseph K. Labre ambaye shule anayoiongoza imefanya vizuri katikati ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Dk. Edmund Mndolwa.
0 comments:
Post a Comment