METDO Tanzania

METDO Tanzania

Friday, July 15, 2022

PICHA: KATIBU MKUU CHONGOLO KIKAO CHA JUMUIYA YA WAZAZI

  

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo,akizungumza  wakati akifungua  kikao cha tathmini na Wakuu wa Shule za Jumuiya ya Wazazi kilichofanyika leo Julai 15, 2022 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa Dkt. Edimund Mndolwa,akizungumza  wakati wa kikao cha tathmini na Wakuu wa Shule za Jumuiya ya Wazazi kilichofanyika leo Julai 15, 2022 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Jumuiya Ya Wazazi Bw.Gilbert Kalima ,akizungumza  wakati wa kikao cha tathmini na Wakuu wa Shule za Jumuiya ya Wazazi kilichofanyika leo Julai 15, 2022 jijini Dodoma. 

Mwenyekiti wa Kamati ya Mitihani Shule za Jumuiya ya Wazazi Mwalimu Jacob Msigwa ,akizungumza  wakati wa kikao cha tathmini na Wakuu wa Shule za Jumuiya ya Wazazi kilichofanyika leo Julai 15, 2022 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akimkabidhi cheti cha pongezi Mwanafunzi Philip Antipas Ng’eleshi kwa kushika nafasi ya 9 Kitaifa katika mtihani wa kidato cha sita  katika mchepuo wa PCB,katikati ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Dk. Edmund Mndolwa na kushoto ni Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Wari Mwalimu Naomi Kikoti  wakati wa kikao cha tathmini na Wakuu wa Shule za Jumuiya ya Wazazi kilichofanyika leo Julai 15, 2022 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akimkabidhi cheti cha pongezi Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Ivumwe Sekondari Mwalimu Joseph K. Labre ambaye shule anayoiongoza imefanya vizuri katikati ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Dk. Edmund Mndolwa.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com