WANAMUZIKI wanaounda kundi linalotikisa Bongo kwa sasa la Rostam, Roma
Mkatoliki na Stamina, wamefunguka kuwa, endapo mmoja kati yao akibaini
mwenzake amechepuka, basi ndiyo itakuwa mwisho wa uhai wa kundi hilo.
Wawili hao kwa sasa wanatamba na wimbo wao wa Huku Ama Kule ambao
unafanya vizuri kwenye vituo vya redio na runinga.
Roma amesema: “Yaani sisi kila mtu hapa alipo anamlinda mwenzake
kuhakikisha hapigi, hachepuki licha ya kwamba kuna vishawishi vingi
ambavyo tunakutana navyo wakati tukisaka ugali wetu wa kila siku.
“Kama ikitokea siku m i m i nimemfuma Stamina au yeye akanifumania nipo
na mwanamke mwingine tofauti na mke wangu tukifanya mambo ya kimapenzi,
basi hapo ndiyo utakuwa mwisho wa kundi hili.”
Saturday, October 7, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Waziri wa Kilimo Mhe Hasunga (Mb) Mwenye Tai, akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa kampuni mbalimbali zinazojihusisha na uzalish...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Pichani: Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli, akizungumza na wakulima na wadau mbalimbali w...
-
WazoHuru Media - Arusha Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli, amesema kwamba Wizara itachunguza na kuondoa changamoto ya rumb...
-
Na Saida Issa, Dodoma SERIKALI kupitiaTume ya Taifa ya Umwagiliaji inaendelea na kazi za upembuzi yakinifu na usanifu wa kina katika bonde l...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment