WANAMUZIKI wanaounda kundi linalotikisa Bongo kwa sasa la Rostam, Roma
Mkatoliki na Stamina, wamefunguka kuwa, endapo mmoja kati yao akibaini
mwenzake amechepuka, basi ndiyo itakuwa mwisho wa uhai wa kundi hilo.
Wawili hao kwa sasa wanatamba na wimbo wao wa Huku Ama Kule ambao
unafanya vizuri kwenye vituo vya redio na runinga.
Roma amesema: “Yaani sisi kila mtu hapa alipo anamlinda mwenzake
kuhakikisha hapigi, hachepuki licha ya kwamba kuna vishawishi vingi
ambavyo tunakutana navyo wakati tukisaka ugali wetu wa kila siku.
“Kama ikitokea siku m i m i nimemfuma Stamina au yeye akanifumania nipo
na mwanamke mwingine tofauti na mke wangu tukifanya mambo ya kimapenzi,
basi hapo ndiyo utakuwa mwisho wa kundi hili.”
Saturday, October 7, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Nimebahatika kupata fursa kadhaa kukaa na kuzungumza na Mheshimiwa Rais Mstaafu Hayati Benjamin William Mkapa enzi za uhai wake....
-
Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Dk. Hamisi Kigwangalla akiwa pamoja na Mgombea nafasi ya Udi...
-
Na THEOFLIDA WA YESU Naanza kwa kuwasalimu kwa JINA LA YESU. Jina lililo Kuu kupita majina yote. Wiki ...
-
Kuangalia video za ngono sio jambo jipya kwa jamii yetu, kimsingi ni watu wachache sana wanaweza kujizuia kujichua au kupiga punyeto ...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
Powered by Blogger.

0 comments:
Post a Comment