Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed
Shein akisalimiana na Wazee na Viongozi wa CCM alipowasili Kijiji cha
Milimuni Chokocho kuweka Jiwe la Msingi tawi la CCM Kijijini hapo leo
akiwa katika ziara ya kutembelea na kukagua Miradi mbali mbali ya
Maendeleo Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed
Shein akifungua pazia kuliweka jiwe la msingi Tawi la CCM Milimuni
Kijiji cha Chokocho Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba akiwa katika
ziara ya kutembelea na kukagua Miradi mbali mbali ya Maendeleo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed
Shein alipokuwa akizungumza na Wananchi na wanachama wa Chama cha
Mapinduzi CCM alipoweka jiwe la msingi Tawi la CCM Milimuni Kijiji cha
Chokocho Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba akiwa katika ziara ya
kutembelea na kukagua Miradi mbali mbali ya Maendeleo,
Picha na Ikulu.24/08/2017.
0 comments:
Post a Comment