Mwakilishi
Mkazi Mwandamizi wa JICA Bw. Toshio Nagase akizungumza katika hafla
fupi ya kuwaaga Watanzania waliopata fursa ya kuhudhuria mafunzo nchini
Japani chini ya ufadhili wa Serikali ya Japani kupitia mpango wa ABE
Initiative, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Katibu
Mkuu, Ofisi ya Rais-Utumishi, Dkt. Laurean Ndumbaro akizungumza katika
hafla fupi ya kuwaaga Watanzania waliopata fursa ya kuhudhuria mafunzo
nchini Japani chini ya ufadhili wa Serikali ya Japani kupitia mpango wa
ABE Initiative, iliyofanyika Jijini Dar es Salaam.
Washiriki
wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Utumishi, Dkt. Laurean
Ndumbaro (hayupo pichani) wakati wa hafla fupi ya kuwaaga Watanzania
waliopata fursa ya kuhudhuria mafunzo nchini Japani chini ya ufadhili wa
Serikali ya Japani kupitia mpango wa ABE Initiative, iliyofanyika
Jijini Dar es Salaam.
Mmoja
wa wanufaika wa Mpango wa Mafunzo ya ABE akielezea alivyonufaika na
mafunzo hayo wakati wa hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam ya
kuwaaga Watanzania nane waliopata ufadhili wa masomo chini ya Mpango
huo.
0 comments:
Post a Comment