Katibu Mkuu Wizara ya Habari
Utamaduni Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel ( kushoto)
akieleza jambo wakati wa kikao na Maafisa Utamaduni na watendaji wa
Mkoa wa Pwani katika ziara yake ya kikazi jana mkoani hapo lengo ikiwa
ni kuwahamasisha maafisa hao kufanya kazi kwa kuzingatia utamaduni wa
kutunza na kuheshimu muda ili kuleta matokeo chanya kwa jamii kulia ni
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Bibi. Joyce Fisoo.
Baadhi ya wajumbe wa kikao
waliohudhuria kikao kazi wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa Wizara ya
Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel Jana Mkoani
Pwani.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari
Utamaduni Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel (waliokaa
katikati) akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wa Mkoa wa Pwani
wakati wa ziara yake ya kikazi jana mkoani hapo .
Katibu Mkuu Wizara ya Habari
Utamaduni Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel (wa kwanza
kushoto) akimsikiliza Mkuu wa kituo cha Makumbusho cha Caravan Serai
Bibi. Reinfrida Kapela (kulia) wakati wa ziara yake ya kikazi jana
Mjini Bagamoyo, katikati ni Katibu Tawala Wilaya ya Bagamoyo Bibi. Erica
Yegela.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari
Utamaduni Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel ( kulia) akipata
maelekezo kutoka kwa Mkuu wa kituo cha Makumbusho cha Caravan Serai
Bibi. Reinfrida Kapela (kushoto) namna ambavyo wanawake wa Mji wa
Bagamoyo walivyokuwa na utamaduni wa kutengeneza urembo wa liwa kwa
kutumia jiwe wakati wa ziara yake ya kikazi jana Mjini hapo.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari
Utamaduni Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel (wa kwanza
kushoto) akifafanua jambo kwa Mkuu wa kituo cha Mji Mkongwe Bw. Noel
Laswai (katikati) katika ziara yake ya kikazi Wilayani Bagamoyo kulia
ni Katibu Tawala Wilaya ya Bagamoyo Bibi.Erica Yegela
(Picha na Lorietha Laurence-WHUSM)
0 comments:
Post a Comment