Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi
wa Mradi wa Pro Futuro Bi. Rosemary Terry (kushoto) juu ya Vishikwambi
(Ipad) vitakavyotumika katika kufundishia shule 10 zilizopo ndani ya
jimbo la Dodoma mjini, kulia ni Mbunge wa Jimbo hilo ambaye pia
ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi,
Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Anthony Mavunde . (Picha na Ofisi ya
Makamu wa Rais)
Tuesday, March 14, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
Mkuu wa Wilaya ya Busega, Mhe. Anna Joram Gidarya, amewataka wananchi wa Wilaya ya Busega kutoa maoni kwa uhuru kuhusu ombi la k...
-
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Angeline Mabula akizungumza na watendaji wa sekta ya ardhi mkoani Iringa wakati wa z...
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea kutoka kwa Laigwnani Metui Ole Shaudo mapendekezo ya Wananchi wa Tarafa ya Ngorongoro kuhusu namna bor...
-
Waziri wa kilimo Mhe Japhet Ngailonga Hasunga (Mb) Naibu Waziri wa Wizara ya kilimo Mhe Innocent Lugha Bashungwa Na Mathias C...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment