Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi
wa Mradi wa Pro Futuro Bi. Rosemary Terry (kushoto) juu ya Vishikwambi
(Ipad) vitakavyotumika katika kufundishia shule 10 zilizopo ndani ya
jimbo la Dodoma mjini, kulia ni Mbunge wa Jimbo hilo ambaye pia
ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi,
Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Anthony Mavunde . (Picha na Ofisi ya
Makamu wa Rais)
Tuesday, March 14, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
Na Carlos Claudio, Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anamringi Macha, ametoa pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh...
-
Mkuu wa Wilaya ya Busega, Mhe. Anna Joram Gidarya, amewataka wananchi wa Wilaya ya Busega kutoa maoni kwa uhuru kuhusu ombi la k...
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea kutoka kwa Laigwnani Metui Ole Shaudo mapendekezo ya Wananchi wa Tarafa ya Ngorongoro kuhusu namna bor...
-
Na Meleka Kulwa- Dodoma Desemba 6, 2025 Jijini Dodoma Hospitali ya Benjamin Mkapa imepeleka huduma za afya katika Viwanja vya Mnadani...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment