Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana
(wa sita kulia) akishiriki kuswalia jeneza lenye mwili wa aliyekuwa
Mjumbe wa NEC, Mwalimu Ali Mbaga wakati wa mazishi yaliyofanyika leo Feb
8, 2017, katika kijiji cha Kighare, Usangi wilayani Mwanga mkoani
Kilimanjaro. Mbaga ni miongoni mwa viongozi wanne wa CCM, waliofariki
kwa ajali ya gari wakati wakitoka kwenye maadhimisho ya miaka 40 ya CCM
katika mkoa huo.(Picha na Bashir Nkoromo)
Thursday, February 9, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono Wananchi wa Hai mara baada ya kuwasili Bo...
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Jose...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Naibu Waziri wa Madini Mhe Doto Mashaka Biteko (wa pili kulia) akiongozana na Mkurugenzi wa Kampuni ya wazawa ya uchenjuaji dhahabu kwa k...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment