Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana
(wa sita kulia) akishiriki kuswalia jeneza lenye mwili wa aliyekuwa
Mjumbe wa NEC, Mwalimu Ali Mbaga wakati wa mazishi yaliyofanyika leo Feb
8, 2017, katika kijiji cha Kighare, Usangi wilayani Mwanga mkoani
Kilimanjaro. Mbaga ni miongoni mwa viongozi wanne wa CCM, waliofariki
kwa ajali ya gari wakati wakitoka kwenye maadhimisho ya miaka 40 ya CCM
katika mkoa huo.(Picha na Bashir Nkoromo)
Thursday, February 9, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Na Immaculate Makilika – MAELEZO, Makete Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mh...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) imeongeza jitihada katika kudhibiti uvamizi wa visumbufu hatarishi, ikiwemo kwelea...
-
Kibanda cha mlinzi katika Chuo cha VETA Uyui mkoani Tabora ambacho kimejengwa kwa gharama ya sh.milioni 11. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ...
-
Na Debora Charles (Mtakwimu) Sensa ya watu na makazi ni utaratibu wa kukusanya, kuchambua, kutathimini na kuchapisha na kusamba...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment