Salaaaam...!
Hakika nimekuwa na wasaa mzuri sana kujumuika katika majukumu kwa uchache katika shule ya Sekondari Umoja hapa Wilayani Igunga.
Lakini mimi nataka tujadili kuhusu Pure&Natural Jambo Drinking
Water chupa ya maji yenye ujazo wa 1500 ml na Slogan yao nu Life in
every drop, Maji haya yanazalishwa ama kutengenezwa Mkoani Shinyanga
lakini pia kuna maji mengine nimenunua yenyewe yanatengenezwa
Rukwa nimekuwa na maswali kadhaa hivi wafanyabiashara wa Mkoa wa Tabora
wanashindwa nini kuchangamkia fursa ya kuwa na kiwanda cha maji ambayo
yakutikane nchi nzima....?
Leo mjadala maji tu mambo ya Video za watsup tuyaache kidogo.
Wakati Mwema
Mathias Canal
0756413465
Saturday, October 8, 2016
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Na Mathias Canal, Dodoma Utangulizi : Mradi wa kufua umeme kwa kutumika nguvu ya maji katika mto Rufuji uliopewa jina la ‘Julius Nyerere...
-
Kiongozi wa upinzani, Kizza Besigye akisindikizwa na maofisa wa gereza la Luzira alikokuwa akishikiliwa Kiongozi w...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
Na Hamis Hussein - Singida Serikali imetoa shilling bilioni 5.9 kwaajili ya kuendeleza ujenzi wa majengo mapya ya hospitali ya rufaa y...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
Powered by Blogger.

0 comments:
Post a Comment