Salaaaam...!
Hakika nimekuwa na wasaa mzuri sana kujumuika katika majukumu kwa uchache katika shule ya Sekondari Umoja hapa Wilayani Igunga.
Lakini mimi nataka tujadili kuhusu Pure&Natural Jambo Drinking
Water chupa ya maji yenye ujazo wa 1500 ml na Slogan yao nu Life in
every drop, Maji haya yanazalishwa ama kutengenezwa Mkoani Shinyanga
lakini pia kuna maji mengine nimenunua yenyewe yanatengenezwa
Rukwa nimekuwa na maswali kadhaa hivi wafanyabiashara wa Mkoa wa Tabora
wanashindwa nini kuchangamkia fursa ya kuwa na kiwanda cha maji ambayo
yakutikane nchi nzima....?
Leo mjadala maji tu mambo ya Video za watsup tuyaache kidogo.
Wakati Mwema
Mathias Canal
0756413465
Saturday, October 8, 2016
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Na. Antonia Mbwambo, Arusha. Watumishi wa Umma nchini wamehakikishiwa kuboreshewa mazingira ya kazi kadri uchumi utakavyoruhusu ili kuleta ...
-
Nimebahatika kupata fursa kadhaa kukaa na kuzungumza na Mheshimiwa Rais Mstaafu Hayati Benjamin William Mkapa enzi za uhai wake....
-
Na Mathias Canal, WAZOHURU MEDIA Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali...
-
Na THEOFLIDA WA YESU Naanza kwa kuwasalimu kwa JINA LA YESU. Jina lililo Kuu kupita majina yote. Wiki ...
-
Mmoja wa Viongozi wa kikundi cha Hamasa cha Timu ya Tanzania Prison Stephen Rheda (aliyesimama) akitoa nasaha za mwisho kwa washabiki wenzie...
Powered by Blogger.

0 comments:
Post a Comment