METDO Tanzania

METDO Tanzania

Saturday, October 8, 2016

Safari ni Hatua

Salaaaam...!

Hakika nimekuwa na wasaa mzuri sana kujumuika katika majukumu kwa uchache katika shule ya Sekondari Umoja hapa Wilayani Igunga.

Lakini mimi nataka tujadili kuhusu Pure&Natural Jambo Drinking Water chupa ya maji yenye ujazo wa 1500 ml na Slogan yao nu Life in every drop, Maji haya yanazalishwa ama kutengenezwa Mkoani Shinyanga lakini pia kuna maji mengine nimenunua yenyewe yanatengenezwa Rukwa nimekuwa na maswali kadhaa hivi wafanyabiashara wa Mkoa wa Tabora wanashindwa nini kuchangamkia fursa ya kuwa na kiwanda cha maji ambayo yakutikane nchi nzima....?

Leo mjadala maji tu mambo ya Video za watsup tuyaache kidogo.

Wakati Mwema
Mathias Canal
0756413465

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com