Leo napenda ufahamu kuwa endapo utapata nafasi ya kula angalau chungwa
moja tu kila siku basi tambua wazi kuwa kuna hizi faida hapa chini
utakuwa unazzipata kila unapotumia tunda hilo.
Kwanza utauhakikishia mwili wako usalama mkubwa zaidi wa kiafya kutokana
na tunda hilo kuwa na kiwango cha kutosha cha vitamin C ambayo husaidia
kuimarisha kinga za mwili na kumfanya mhusiaka kutosongwa na magonjwa
ya mara kwa mara kirahisi.Lakini pia ulaji wa chungwa mara kwa mara utaupatia mwili wako madini ya
potassium, calcium, folate, pamoja na vitamin B ambavyo vyote kwa
pamoja ni muhimu ndani ya miili yetu wanadamu.
Pamoja na hayo, chungwa pia lina nyuzinyuzi 'fiber' ambazo huhitajika
sana katika kufanya zoezi la umeng'enyaji chakula ndani ya tumbo na
hivyo kumsaidia mhusika kuepukana na matatizo mbalimbali ikiwa ni pamoja
na ukosefu wa choo.
Thursday, September 29, 2016
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
Na Dotto Mwaibale KUNDI la uhalifu la watoto wenye umri kuanzia miaka 18 hadi 25 maarufu kama panya road linatishia usalama wa ...
-
Mkuu wa Wilaya ya Songwe Samuel Jeremia Opulukwa akinawa mikono kabla ya kuingia katika Zahanati ya Saza itakayotumika kutibu endapo ata...
-
Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga (wa nne kushoto) akipitia taarifa ya ujenzi wa mradi wa Maji Nyamtukuza Wilayani Nyang’...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment