Hillary Clinton amesema kuwa anasikitika kuwa aliwataja mashabiki wa
mgombezi wa Republican, Donald Trump, kama kundi la watu wasiostahili
heshima.Katika taarifa kwa waandishi wa habari mgombezi huyo wa Urais kwa chama
cha Republican alisema kuwa kuna Wamarekani wengi wanaochapa kazi kwa
bidii wanaoamini kuwa wamepuuzwa na wanasiasa nchini.
Hata hivyo alisema kuwa ataendelea kukebehi watu wenye madharau ubaguzi wa rangi.
Meneja Mkuu wa kampeni wa Bwana Trump alikuwa amemlaumu Bi Clinton kwa
kile alichokitaja kama matusi dhidi ya mamilioni ya raia wa Marekani
aliposema kuwa wale wanaomwunga mpinzani wake walikuwa wabaguzi wa
rangi, wapinzani wa kijinsia, maaduni wa wapenzi wa jinsia moja na
wanaochukia Waislamu.
Sunday, September 11, 2016
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Nimebahatika kupata fursa kadhaa kukaa na kuzungumza na Mheshimiwa Rais Mstaafu Hayati Benjamin William Mkapa enzi za uhai wake....
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA), Eng. Innocent Masaka, amesema wakala huo umejipanga kubore...
-
Visiwani Zanzibar zoezi la uandikishaji wapiga kura katika daftari jipya la kudumu leo limeingia mjini Magharibi lakini kama ilivyo...
-
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameungana na wanafamilia, wananchi wa Songea katika kuomboleza kifo cha aliyekuwa mbunge wa jimbo ...
Powered by Blogger.

0 comments:
Post a Comment