Hillary Clinton amesema kuwa anasikitika kuwa aliwataja mashabiki wa
mgombezi wa Republican, Donald Trump, kama kundi la watu wasiostahili
heshima.Katika taarifa kwa waandishi wa habari mgombezi huyo wa Urais kwa chama
cha Republican alisema kuwa kuna Wamarekani wengi wanaochapa kazi kwa
bidii wanaoamini kuwa wamepuuzwa na wanasiasa nchini.
Hata hivyo alisema kuwa ataendelea kukebehi watu wenye madharau ubaguzi wa rangi.
Meneja Mkuu wa kampeni wa Bwana Trump alikuwa amemlaumu Bi Clinton kwa
kile alichokitaja kama matusi dhidi ya mamilioni ya raia wa Marekani
aliposema kuwa wale wanaomwunga mpinzani wake walikuwa wabaguzi wa
rangi, wapinzani wa kijinsia, maaduni wa wapenzi wa jinsia moja na
wanaochukia Waislamu.
Sunday, September 11, 2016
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
Na Carlos Claudio, Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anamringi Macha, ametoa pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh...
-
Mkuu wa Wilaya ya Busega, Mhe. Anna Joram Gidarya, amewataka wananchi wa Wilaya ya Busega kutoa maoni kwa uhuru kuhusu ombi la k...
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea kutoka kwa Laigwnani Metui Ole Shaudo mapendekezo ya Wananchi wa Tarafa ya Ngorongoro kuhusu namna bor...
-
Na Meleka Kulwa- Dodoma Desemba 6, 2025 Jijini Dodoma Hospitali ya Benjamin Mkapa imepeleka huduma za afya katika Viwanja vya Mnadani...
Powered by Blogger.

0 comments:
Post a Comment