Hillary Clinton amesema kuwa anasikitika kuwa aliwataja mashabiki wa
mgombezi wa Republican, Donald Trump, kama kundi la watu wasiostahili
heshima.Katika taarifa kwa waandishi wa habari mgombezi huyo wa Urais kwa chama
cha Republican alisema kuwa kuna Wamarekani wengi wanaochapa kazi kwa
bidii wanaoamini kuwa wamepuuzwa na wanasiasa nchini.
Hata hivyo alisema kuwa ataendelea kukebehi watu wenye madharau ubaguzi wa rangi.
Meneja Mkuu wa kampeni wa Bwana Trump alikuwa amemlaumu Bi Clinton kwa
kile alichokitaja kama matusi dhidi ya mamilioni ya raia wa Marekani
aliposema kuwa wale wanaomwunga mpinzani wake walikuwa wabaguzi wa
rangi, wapinzani wa kijinsia, maaduni wa wapenzi wa jinsia moja na
wanaochukia Waislamu.
Sunday, September 11, 2016
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa upinzani, Kizza Besigye akisindikizwa na maofisa wa gereza la Luzira alikokuwa akishikiliwa Kiongozi w...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
Na Mathias Canal, Dodoma Utangulizi : Mradi wa kufua umeme kwa kutumika nguvu ya maji katika mto Rufuji uliopewa jina la ‘Julius Nyerere...
-
Ikumbukwe siongei kwa niaba ya Taasisi Fulani bali naongea kama MNEC. Napenda kumpongeza Rais wangu Dr. John Pombe Joseph magufuli kwa...
-
Na Georgr Binagi-GB Pazzo Serikali imewataka wakurugenzi wote wa Halmashauri nchini kushughulikia madai ya waalimu ikiwemo madeni stahi...
Powered by Blogger.

0 comments:
Post a Comment