METDO Tanzania

METDO Tanzania

Tuesday, December 22, 2015

Diamond asema mke bora JIKONI



Icon wa muziki Afrika Naseeb ‘Diamond’ Abdul, amemmwagia sifa mzazi mwenzie Zarina ‘Zari’ Hassan kuwa anasifa zote za mke mwema.

Plutnumz amesema mara nyingi Zari amekuwa ni mwanamke anayependa kupika tofauti na wale aliokuwa nao hapo kabla. “Yani kiukweli Zari ni mwanamke fulani ambaye ni wa kipekee sana, hapendi kabisa ninachokula kipikwe na mtu mwingine, kitu kinachonihusu kifanywe na mtu mwingine.

Hana gubu mnaweza mkagombana lakini ukiingia ndani tayari ugomvi umekwisha kabisa, akikaa jikoni baada ya muda mfupi tu anatoa kitu fasta” Alisema Diamond.

Katika ‘line’ nyingine mkali huyo alidai, Mungu akipenda muda si mrefu watafunga pingu za maisha.

 

 
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com