METDO Tanzania

METDO Tanzania

Monday, October 12, 2015

MAMA SAMIA ATIKISA KATIKA MAJIMBO YA SHINYANGA

 Wananchi wakiwa wamezuia msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika eneo la Tinde jimbo la Msalala mkoani Shinyanga, wakati ukiwa njiani kwenda Kahama mkoani humo leo
 Mama akiwa amekwenda na watoto wake, kumshuhudia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan msafara wa Mgombea huyo ulipoziwa na wananchi katika eneo la Tinde jimbo la Msalala mkoani Shinyanga, wakati ukiwa njiani kwenda Kahama mkoani humo leo
 Baadhi ya wasanii wa Bongo Movie wakishushwa kwenye Pick Up walipowasili kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika jimbo la Kahama mkoani Shinyanga leo
 Wasanii wa Bongo Movie wakiwasalimia wananchi baada ya kuwasili kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, uliofanyika leo katika jimbo la Kahama mkoani Shinyanga(P.T)

 Kiongozi wa kundi la kamapeni za CCM la Mama Ongea na Mwanao, Steven Mangele maarufu kwa jina la Steve Nyerere, akihamaisha wananchi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kahama mkoani Shinyanga leo
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2025 WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com